DUNIA (Ep 04)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 мар 2025
  • #dunia

Комментарии • 1,9 тыс.

  • @Mrkigoma
    @Mrkigoma 5 месяцев назад +800

    Mtunzi wa hii story syo level ya kawaida kama umeliona hilo like yako mhimu maaana 🤔🔥🔥🔥🔥😂😂 hatari

  • @DorcasAmos-m3p
    @DorcasAmos-m3p 4 месяца назад +166

    Manyanya ni kanumba ajaye huyu mkaka anaweza me namkubali wanaomkubali Kam mm like ziwe nyingi

  • @MICHAELILUMBA-e4t
    @MICHAELILUMBA-e4t 5 месяцев назад +581

    Manyanya umetisha sanaa wanaomkubali Manyanya tujuane

  • @OMARIMSANA
    @OMARIMSANA 5 месяцев назад +48

    Kama ushawahi kusikia kuwa fasihi ni kazi ya kisanaa inayotumia lugha ili kufikisha ujumbe kwa jamii basi huu ndio mfano halisii 🔥 kazi nzuri, story nzuri na pia inalenga na kufundisha jamii,📌

  • @witnessmaturege2944
    @witnessmaturege2944 5 месяцев назад +331

    Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe🙌🙌🙌

  • @salehemcharo
    @salehemcharo 4 месяца назад +16

    DUH SJAWAHI KUONA MOVIE 🎥 KALI KAMA HII AISEE DUH ❤❤❤❤

  • @Katuni862
    @Katuni862 5 месяцев назад +165

    Mudi na mke wake nawapenda😂😂😂😂😂

  • @BakariMillinga
    @BakariMillinga Месяц назад +16

    Mchungaji akili haitaki mwili unataka 😂😂😂😂😂

  • @wilmotkarisa6174
    @wilmotkarisa6174 5 месяцев назад +293

    Church Boy leo kapewa mzigo cha lazima😢😢😢😢....kabakwa....yeyote aliye tazama hii episode abarikiwe🙏🙏🙏🙏

    • @KhadijaSalim-xt9sb
      @KhadijaSalim-xt9sb 5 месяцев назад +8

      😂😂😂amebakwa masking 😅

    • @rizikishoo9084
      @rizikishoo9084 5 месяцев назад +10

      Church boy kapewa utelezi bila kupenda

    • @philipmutua6643
      @philipmutua6643 5 месяцев назад +5

      Tubarikiwe kisa church boy kabakwa au movie tamu😂😂😂😂😂😂

    • @AllyMkola-u7e
      @AllyMkola-u7e 5 месяцев назад +6

      Church boy kautaka mwenyewe Yani we geto malaya unaingia kila mara we huogopi?

    • @saidaisha8798
      @saidaisha8798 5 месяцев назад +2

  • @arimtekerdivalwamadush7517
    @arimtekerdivalwamadush7517 5 месяцев назад +71

    The one who wrote this is on another level Dunia hii Iko ivo kwenye movie hii based on true story love this weka likes if you support this

  • @rogermsimbe3699
    @rogermsimbe3699 18 дней назад +9

    Wakuu kwel hili igizo niatari San 😅😅😅😅😅 wanao kubaliana na me wagonge like apo chin na tuipe mauwa yake hii movie 🎉🎉🎉

  • @NathaSMART
    @NathaSMART 5 месяцев назад +50

    Number 1 today Guys team strong hoyeeeee
    Aki wew mlevi ati unataka kunya😂😂😂😂

  • @SadaRamadhani-q7s
    @SadaRamadhani-q7s 4 месяца назад +13

    Yn hii story km mmenitungia mim jmn, pole matilda kw unayopitia naelewa hayo maumivu maan hat mim yalixhanijutaga.... nilikosa raha hat y dunia kbx😢😢😢

    • @AshuuuBakari
      @AshuuuBakari 2 месяца назад

      Jitizame huenda umefanyiwa hasada

  • @pastor-Chrisfeston1
    @pastor-Chrisfeston1 5 месяцев назад +217

    Manyanya wewe kinacho baki tu ukapambane na king Ray vicent kigosi unaweza sana Manyanya hebu wangapi wanao mkubali Manyanya jamani nimekupendea kimoja babu uko serious sana mno❤❤❤❤❤❤❤

  • @NajmaBarry04
    @NajmaBarry04 11 дней назад +3

    Wadada wenye ndoa zao n changa hii movie inatuhusu inamafunzo mazur❤❤❤❤❤

  • @espoirbanza-b4k
    @espoirbanza-b4k 5 месяцев назад +22

    Muandishi wa iyi movie mungu amubariki na amuzidishiye kipaji chake

  • @ElianneIrambona-n8z
    @ElianneIrambona-n8z 5 месяцев назад +3

    Huyu manyanya kaigiza vizuli sana jamani nimewakubali sana hapa sasa umefanya cha maana kuwafkuza hao wamaman❤❤❤❤❤❤

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 5 месяцев назад +98

    Maisha ya mudi ya mkewe ndio mazuri nimeyapenda😂😂😂😂😂

  • @nuwayirally1725
    @nuwayirally1725 5 месяцев назад +9

    Manyanya big up huyu ni mtanzania kwl anaongea kizungu safi

  • @MakwanaJr
    @MakwanaJr 5 месяцев назад +51

    Bado changamoto za kuishi na mlevi ni nyingi sana jaman ... Heeeh wanawake wanavumilia yote sababu ya ❤

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu
    @MeckitilidaTushabe-or9hu 5 месяцев назад +4

    Kiukweli mtunzi yuko vizuri sana hii move inamafunzo mengi mno🙏🙏

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv 5 месяцев назад +94

    MWENYE NAMBA ZA HUYU MATT ANIPE JAMANI, 😂😂😂 OYA NIMETANIA ILA KIUKWELI ANAJUA ZAIDI YA SANA, HONGERA SANA TEAM DUNIA SERIES🎉🎉🎉

    • @NajmaRajabu-q8e
      @NajmaRajabu-q8e 5 месяцев назад

      Unataka kupelekewa moto ukawe taila😂😂

    • @KibweOnlineTv
      @KibweOnlineTv 5 месяцев назад

      @@NajmaRajabu-q8e 🤣🤣🤣 ndiyo kitu napenda

    • @RashidiSelemeni
      @RashidiSelemeni 5 месяцев назад +1

      😂😂😂

    • @NajmaRajabu-q8e
      @NajmaRajabu-q8e 5 месяцев назад

      @@KibweOnlineTv 😁😁ngojatukuombee namba

    • @KibweOnlineTv
      @KibweOnlineTv 5 месяцев назад +1

      @@NajmaRajabu-q8e hahaha😂🤣 sawa

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws 5 месяцев назад +8

    Kaziiii iendeleeeeee😅😅😅matldaaaaa kablokiwqaa kujitambulishaaaa tuuuu imeishaaaa😅😅😅

  • @IreneIsambi
    @IreneIsambi 5 месяцев назад +41

    Namba Moja toka mbeya hapa big up Kwa manyanya

  • @raymondcreditconsultant5067
    @raymondcreditconsultant5067 13 дней назад +4

    Isee kumbe nimechelewa kuangalia huu movies aisee ni moto 🔥 wa Hollywood na Bollywood

  • @DekelvaSoujaboy-mb8ps
    @DekelvaSoujaboy-mb8ps 5 месяцев назад +20

    Daah na wakubali Sana team manyanya mko vizuri sana movie kali hii inaitwa kaah mbali na watoto ❤❤❤ from Drc Congo Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩💥💥🌟💥

  • @omarymndemeofficial
    @omarymndemeofficial 5 месяцев назад +14

    Mati Kabaka 😂😂😂😂😂 Yan mwamba kakaza sauti mwishiwe taratiba kalegeza hiiimambo hata adamu uvumilivu ulimshinda 😂😂😂😂

  • @elvinomweri
    @elvinomweri 5 месяцев назад +18

    Wallah nimeipenda bila kutarajia ❤❤❤❤kazi nzuri

  • @msondehamisi7746
    @msondehamisi7746 5 месяцев назад +17

    Daaah ila Hawa wamama wa mke wa manyanya daaah😂😂😂😂😂, wanamjaza ujinga tu

    • @Umi-f6d
      @Umi-f6d 4 месяца назад

      😂😂😂tena. Kwa nguvu Sana🙌

    • @EsterinahPaul
      @EsterinahPaul Месяц назад

      Ni wajinga mno😅😅😅😅😅😅 yanachekesha haya majimama uwiii😂😂😂😂😂

    • @Frola-r9z
      @Frola-r9z Месяц назад

      ​@@EsterinahPaulAta siwapendi

  • @jazminewatanzi1854
    @jazminewatanzi1854 5 месяцев назад +14

    To be a wife to Mudi is a full time job with no offs and allowance 😂😂😂😂maskin mke wake nimvumilivu

  • @rajabuhamzambagonyonge3257
    @rajabuhamzambagonyonge3257 5 месяцев назад +3

    Respect nawakubal sana hakika mmepangilia story vzr hakika mungu awabarki muzid kuleta kaz nzr

  • @MATEOJOSEPH-nc8gf
    @MATEOJOSEPH-nc8gf 5 месяцев назад +120

    Mm kwenye Dunia sijawahi pewa Like hebu Leo mnipeni hata 5

  • @mamaraoumabah7576
    @mamaraoumabah7576 5 месяцев назад +5

    Kutoka south Africa...❤❤❤❤❤
    Hii mbona Kali .....ETI Vai....❤ Church boy😂... Mke WA Mlevi ❤❤❤❤❤😂😂😂

  • @Black_cheeter
    @Black_cheeter 5 месяцев назад +20

    Huyu mama wa kibenten ni noma sanaaa😂😂 na anavoshupalia kwenye kuongea mapaka mishipa ya shingo inamtoka😂

  • @PenziaNdomba
    @PenziaNdomba 27 дней назад +3

    Ha? Ha?haa? mati mati mati tunatenda dhambi amani mimi jamani😁😁😂😂😂😂😂🤣 daaaaaaah mchungaji kala kondoo ajae

  • @lovenesibj
    @lovenesibj 5 месяцев назад +30

    Yaan mud na mkewe nawapenda❤😂😂😂

  • @barakagwata4160
    @barakagwata4160 5 месяцев назад +14

    Ukweli ingekuwa move hii imetolewa na akina frani ingepata like nyingi sana, ila basi, lakini nzuri sana

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 5 месяцев назад +20

    Very wonderful season, mnajua kweli tasnia ya bongo muvi imebadilika sasa ni upepo wa timu clam vevo na Kicheche tuuh...

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly 2 месяца назад +16

    Hii movie ndo naijua leo ils manyanya n🔥🔥🔥🔥🔥

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv 5 месяцев назад +20

    😂😂😂 Itabidi huyu Mohamed cha pombe aandikiwe wimbo maana amejaa vituko😊😅😅😅

  • @ShamteAshery-e9i
    @ShamteAshery-e9i 5 месяцев назад +19

    Hii movie ni Kali sana au mnasemaje wanangu kama mnaikubal gonga like.❤❤

  • @mrplanthewinner1730
    @mrplanthewinner1730 5 месяцев назад +21

    Manyanya umetusalit wanaume wenye misimamo,mwanzo umeanza vzr mwisho umezngua

  • @MbwanaPindo
    @MbwanaPindo 5 месяцев назад +5

    Hongereni mnajuaha na mmetufundisha sana na mke wangu hii muvi""

  • @witnessmaturege2944
    @witnessmaturege2944 5 месяцев назад +21

    Matrida hebu kitulize hicho kipochi manyoya chako jamani, kheee eti najinyeaaaa jamani wake wa walevi hongereni mnoooo maana 🙌🙌

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 27 дней назад +2

    Kimwanamke hiki.kumbe kuna wanawake wanapenda.wafanye mapenzi kabla.ya ndoa heee

  • @MakwanaJr
    @MakwanaJr 5 месяцев назад +35

    Yani ni ukweli usiopingika kuwa wanawake walio jiona wamesoma sana kamwe huwezi kumfanya awe chini Yako .. kama unakubalian na mim gonga like na usiache kucoment

  • @MariamMidumo
    @MariamMidumo Месяц назад +5

    Wanaokipenda kipande cha mudi na mkewe mikono juu😅 kunya tena🙌

  • @Mohd-e3t
    @Mohd-e3t 5 месяцев назад +22

    Yani ni series saf imekamilika kila idara
    Fantastic congratulation team manyanya

  • @fransiscobakari5462
    @fransiscobakari5462 5 месяцев назад +1

    Ila chach boy dah najiona mm😂 all in all ikovizur i like that

  • @bintimrope
    @bintimrope 5 месяцев назад +28

    Bora umewatumua watu wazima ovyo. Wanambemenda mke wa mtu ki fikra😂😂😂😂

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 5 месяцев назад

      Wanamvunjia ndoa hao

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 5 месяцев назад +1

      Nimeamin mchawi wa mwanamke ni mwanamke mwenzie Yan wanatak kumvurugia dada wa watu ndoa yake jmn

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 3 месяца назад

      Duh kabisa

    • @Frola-r9z
      @Frola-r9z Месяц назад

      Wananikera sana mimi

  • @AmsiniMussa
    @AmsiniMussa 9 дней назад

    Mati mbakaji ume mbaka mchungaji 😂😂 utaenda motoni😂😂😅😅❤❤❤ ongera jameni

  • @Joshualumwesa
    @Joshualumwesa 5 месяцев назад +8

    Kazi Yenu nzuri sana endeleeni kuelimisha jamiii

  • @JamilaRajabu-g8p
    @JamilaRajabu-g8p 4 месяца назад +2

    Hahaha mati mxhenzi a
    Namualibu Chachi boy😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 5 месяцев назад +15

    Matilda mwanaume huwa akomeshwi wajikomesha mwenyewe utashindanaje na wanaume 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 5 месяцев назад +1

      Kabisa huyo alikua sahii kwake unadhan atamchukuliaje

  • @ShamsaFahad-n8v
    @ShamsaFahad-n8v 3 месяца назад +3

    😂😂😂uyomudi kilio tena😂😂😂 nimecheka Kwa sauti jamani 😂😂 wale wa mbege tujuane jamanii😂😂😂😂

  • @packabdala
    @packabdala 5 месяцев назад +7

    Naona iyi muvie niya kwanza kabisa useme tu! Batu abaoni ❤

  • @omarimustafajr3124
    @omarimustafajr3124 5 месяцев назад +7

    Makopakopa❤❤❤❤ kama hayo ni shida sana omba yasikukute inauma sana dah yani hata chizi hajiui kama ni chizi

  • @MarkOlubayo
    @MarkOlubayo 5 месяцев назад +4

    Mati leo umemmaliza church boy. Lazima agonge mzigo kilazima. Nawapenda nikiwa hapa kenya nawafatilia. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ZehnaMkwili
    @ZehnaMkwili 2 месяца назад +3

    Mmh hii kweli ni bonge la muvi❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 5 месяцев назад +28

    Mwanaume mlevi naishije nae sasa eti sitaki kukojoa nataka kunyaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.

  • @FatmaShahibu
    @FatmaShahibu 5 месяцев назад +2

    Iyo akili ya mati ndo yangu sasa ikishakuwa na mwanaume😂😂😂

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 5 месяцев назад +26

    Siku Matilda akiangukia ktk mikono ya MANYANYA, i swear VAI unakwenda kuzikwa hai.

    • @fathmambeyu8987
      @fathmambeyu8987 5 месяцев назад

      Kweli kabisa

    • @esterkimalio8846
      @esterkimalio8846 5 месяцев назад

      Kabisaaaaaa

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 5 месяцев назад

      😂😂😂😂naiwe hivyo

    • @rachelkihaka
      @rachelkihaka 5 месяцев назад +2

      Na mie nawaza hivyo hivyo namuona vai atakuja teseka Hadi akome

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 5 месяцев назад

      At mm natamani iwe ivyo cz uy Vai anaker Kwa kwel

  • @walugraphics962
    @walugraphics962 5 месяцев назад +15

    Church boy kamblock sababu kaona sio mke wa matendo yake. Wallai hii movie big up🎉 best Bongo movie yenye mavunzo. 💯 Yani Dunia yenye mafunzo yote ..🎉

    • @israelmwasota
      @israelmwasota 2 дня назад

      Oiaa mi ningepiga kelele.. kujitunza miaka kadhaa kuaribiwa ndani ya siku moja

  • @Racheal-o8v
    @Racheal-o8v 5 месяцев назад +24

    Mimi Leo pia nimewahi jamani naombeni like zenu basiii

  • @JacklineMmbando-v7l
    @JacklineMmbando-v7l Месяц назад

    Manyanya uko vizuri baba hao wabibi sio poa siku zote wewe nikichwa tuu ila mkeo atakuja juta pale utakapo pata mchepuko Ambae .yeye ndio sababu😢😢

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp 5 месяцев назад +24

    Church boy 😂😂kala mambo na yeye kakimbia

    • @johnmasha119
      @johnmasha119 5 месяцев назад +1

      Kakomeshwa shwaaaaa😂😂

    • @MWAMPAMBA
      @MWAMPAMBA 5 месяцев назад

      Hajatenda dhambi amebakwa​@@johnmasha119

    • @Puxladen
      @Puxladen 4 месяца назад +1

      Nilikuwa natafuta hii comment😂😂

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp 4 месяца назад +2

      @Puxladen 😃

    • @Officialmoyo-l1d
      @Officialmoyo-l1d 3 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 4 месяца назад +1

    kazi mzr sana inamafunzo sanaa asante manyanya ubarikiwe sanaa🤲🤲🙏❤️❤️❤️

  • @innocentmaombi-cm9ui
    @innocentmaombi-cm9ui 5 месяцев назад +8

    Mudiii unaharibu kwerii madamu mudii pore sana nakunda

  • @enockmtaju5324
    @enockmtaju5324 5 месяцев назад +1

    Good 👍movie zuri mnajitaidi sana kutuelemisha

  • @IreneIsambi
    @IreneIsambi 5 месяцев назад +51

    😂😂😂😂 church boy akuna mkate mgumu mbele ya chai atimaye amli ya sita imevunjwa

  • @NalindwaisaacJackon-l1l
    @NalindwaisaacJackon-l1l 5 месяцев назад +3

    Kazi nzuri nawapenda sana kutoka rwanda

  • @NeemaAlphonce-u9j
    @NeemaAlphonce-u9j 5 месяцев назад +10

    Church boy kapewa hesabu ya kukokotoa😀😀

    • @ZenaKambi-d6n
      @ZenaKambi-d6n 5 месяцев назад +1

      𝒂𝒍𝒊𝒇𝒂𝒕𝒂 𝒏𝒏 𝒌𝒎 𝒂𝒍𝒊𝒌𝒖𝒂 𝒂𝒕𝒂𝒌𝒊 😂😂😂𝒎𝒕𝒕 𝒌𝒂𝒖𝒕𝒂𝒌𝒂

    • @NeemaAlphonce-u9j
      @NeemaAlphonce-u9j 5 месяцев назад +1

      🤣🤣

    • @iddyluswaga1821
      @iddyluswaga1821 5 месяцев назад +1

      ​@@NeemaAlphonce-u9j😂😂😂😂

  • @JustinMbulu-f6v
    @JustinMbulu-f6v 5 месяцев назад +1

    Alo kumbe unajua kiasi hiki dah mungu akusaidie ufike mbali zaid tuko pamoja na wewe shabiki zako ❤❤❤🔥🔥💪 good job

  • @jamalishabani205
    @jamalishabani205 5 месяцев назад +9

    Kazi nzuri manyanya fukuza ayo ma gumegume

  • @consolateurmgeni6772
    @consolateurmgeni6772 3 месяца назад +1

    Watoto wa Elfu mbili kazi iko apa Kwenye Dunia bembe to Thé World 🌏💪🇨🇩

  • @enockgogy5458
    @enockgogy5458 5 месяцев назад +8

    Dida amefaliki jamani tumombee jaman

  • @omarselemanrashid3878
    @omarselemanrashid3878 5 месяцев назад +4

    Amani amekwisha 😂😂😂😂 hongera kwa movie kali🎉

  • @IBRAHIMOFFICIAL-k1c
    @IBRAHIMOFFICIAL-k1c 5 месяцев назад +7

    Kama unamkubali church boy du kaanguka vibaya dhambini kwakweli na manyanya ni mtu anaejua kucheza umwanaume na kama anaijua ndoa sana😂😂😂😂😂

  • @TumainielKitundu-b1p
    @TumainielKitundu-b1p 19 дней назад +1

    Aseee sindi ni kavaa character ya uvumilivu kongole kwake

  • @MaureenNyongesa-v8w
    @MaureenNyongesa-v8w 5 месяцев назад +6

    Heee mudi siwesi mpeleka eti ninyee😂😂😂😂

  • @YasonMwendi
    @YasonMwendi 5 месяцев назад +1

    Kaz nzuri sana kuwah kuiona asanteeeeee nakubal❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Faru808
    @Faru808 5 месяцев назад +9

    Hivi Kuna wanawake wenye ujasil kama Vai wenje uwezo wa kujibu vile kwa waume zao,,,,😮 na Kuna wanaume kama mzee wa ngeli wenye unyenyekev kwa wake zao

    • @ZenaKambi-d6n
      @ZenaKambi-d6n 5 месяцев назад +2

      𝐭𝐮𝐦𝐩𝐞 𝐦𝐮𝐝𝐚 𝐤𝐢𝐭𝐚𝐦𝐥𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐭𝐨 𝐚𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐮𝐫𝐚𝐟𝐢𝐤𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢 𝐲𝐚 𝐦𝐤𝐞 𝐰𝐚 𝐦𝐭𝐮 𝐧𝐚 𝐦𝐭𝐮 𝐚𝐬𝐢𝐨𝐨𝐥𝐞𝐰𝐚

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 5 месяцев назад

      wapo wengi tu

  • @liston6819
    @liston6819 5 месяцев назад +1

    Aisee kusema kweli hii story ipo vizuri Kila sector mmefit....... movie yangu ya mwaka hii 🔥🔥🔥🔥

  • @swahibumaliki1547
    @swahibumaliki1547 5 месяцев назад +45

    Hii mishangazi inampoteza Vai jamani gonga like hp

    • @BeatriceMussa-y4b
      @BeatriceMussa-y4b 5 месяцев назад

      mishangazi au mibibi😂😂😂 aki walai

    • @AngelaEmmanuel-b1f
      @AngelaEmmanuel-b1f 5 месяцев назад

      @@BeatriceMussa-y4b😂😂😂 et io ni miajuza sio mishangazi

  • @KsjajjajajSnnssnnssnsn
    @KsjajjajajSnnssnnssnsn 3 месяца назад

    Waaa aki hii kitu sio rahisi vile wa ona mm nko na hali hii mpk sahii nko Lebanon bt bado nampenda imagine juu ni mlevi chakari lakini anabidii akiacha siku mbili tatu hanywi pombe twapanga vitu zetu za maana,nampenda❤❤❤ sana mume wangu na sitachoka kumuombea mpk mahali niliko namuombea

  • @Rahima-kv6mn
    @Rahima-kv6mn 5 месяцев назад +7

    Yaan apo Manyanya umekosea kuwaomba msamaha hao Malikia kaharaba aswa uyo bonge mama yake kilukuu ana mdomo sana 😂😂😂😂😂😂😂

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 3 месяца назад +3

    Aisee uyu manyanya namba ingne🎉🎉

  • @MissLoyce
    @MissLoyce 5 месяцев назад +9

    Mudy na mke wake 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ sana sana sanaa❤❤❤❤😂

    • @iddyluswaga1821
      @iddyluswaga1821 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂hatari sana

  • @johsilver17
    @johsilver17 4 месяца назад

    Rafiki wa martie ni msukuma mmoja hv kajitahid kuficha kiswahilchake cha kisukuma ila kinakuja tu! Safi sana umetuwakilisha vyema

  • @MajimbiTz
    @MajimbiTz 5 месяцев назад +179

    WA KWANZA LEO EWE UNAESOMA HII COMMENT MUNGU AKUZIDISHIE RIZIKI ZAKO NA AKUPE MAISHA MAREFU AMEEN🙏🙏🙏🙏

  • @AmsiniMussa
    @AmsiniMussa 9 дней назад +1

    ❤manya nya kweli umeonyesha utukufu wa wanaume
    Anae amini kuwa manya nya ameonyesha utukufu wetu sisi wanume bonyeza apo chini
    👇👇

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 5 месяцев назад +9

    Like kwa BABA ASMA anavyowapambania vijana wake halafu wengine wanamsaliti. 😢

  • @saadazubeiry8918
    @saadazubeiry8918 2 месяца назад

    Manyanya umekwishaa, pumbavvv umemridhisha mkeo umejimaliza !

  • @josemangula8806
    @josemangula8806 5 месяцев назад +11

    Nimecheka sana huyu mlokole ila nimejifunza jambo🤣🤣🤣🤣

  • @MrMusango
    @MrMusango 2 месяца назад +1

    Hello guy's I'm Uncle Wylie From Kenya I'm Enjoying Your Series Dunia (IKO POA SANA ENDELEHENI SANA)

  • @havyarimanaemery858
    @havyarimanaemery858 5 месяцев назад +9

    Wakwanza Mimi Toka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @Amiop-wu6ls
    @Amiop-wu6ls 4 месяца назад +4

    Church boy nimekwish mim😂😂bil shak hiii filamu niyikipaji n ina fundisho ndani yake. Like plz

  • @AugustinMutunda-bj6bo
    @AugustinMutunda-bj6bo 5 месяцев назад +10

    Matirda kuya Congo 🇨🇩 Lubumbashi nikupe mapenzi ya congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @NuriatyNdenga
    @NuriatyNdenga 2 месяца назад +1

    Maua pokea manyanya hahaha wanawake ndo tulivyo tunalisishana maisha ambay tumepitia 😅😅

  • @SwaabirMuhammad12
    @SwaabirMuhammad12 5 месяцев назад +9

    Church boy Kala mzigo mbwa zake😅😅😅😂😂😂

    • @ZenaKambi-d6n
      @ZenaKambi-d6n 5 месяцев назад

      𝒌𝒂𝒃𝒂𝒌𝒘𝒂 𝒔𝒊𝒐 𝒂𝒎𝒓𝒊 𝒚𝒂𝒌𝒆 😂😂😂

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 5 месяцев назад

      Kapoteza mume😂😂😂

    • @Farthun
      @Farthun 5 месяцев назад

      @@m.mmarckus6298 😂😂😂😂😂😂😂😂kashamuharibia uvlana wake jamni

    • @mdouharoon66
      @mdouharoon66 5 месяцев назад +1

      🤣🤣 hakuna mkate mgumu mbele ya chai